Translations:Hearing from God/16/sw
Mungu ametupa macho, masikio na akili ili tuvitumie. Wakati mwingine tunaona mtu ambaye tunapaswa kusaidia. Huyu anaweza kuwa Mungu anazungumza kwa kuwafanya watu kukutana. Katika hali kama hizi tunaweza kwanza kuchunguza na kisha kumuuliza Mungu wajibu wetu ni nini (Mathayo 11:2-6; 27:54).